MAKE A NAME VIDEO ODINAREH BINGWA ft OHM'S LAW MONTANA.

 Wakali wa mistari na wakwasi wa mtindo wa hiphop,Odinareh na Ohm's law wamekamilisha video yao ya 'make a name'.Huku wakiendeleza mtindo wa hiphop wasaníi wamedhihirisha uwezo mkuu kwa wimbo huo kukaa kwa chart ya pwani fm mashavmashav nambari moja kwa kipindi kirefu.Japokuwa video hio ilichukua muda kuandaliwa,tulipowasiliana na Odinareh alitueleza kuwa video hio kwa sasa ipo tayari na mashabiki waipokee vyema.Hivi majuzi Odinareh alipanda stage moja na msanii Octopizo kwa tamasha la Coke.Vilevile,msanii alitudokezea kuwa anatayarisha nyimbo kali akimshirikisha msanii fulani wa Nairobi aliye na ufanisi mkubwa.
cheki ngoma yenyewe hapa

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!