WASANII WA HIPHOP WAKIMBILIA MSAADA KWA MZEE MWENYE BUSARA NA MAARIFA.



 Baada ya Odinareh Bingwa kuonyesha picha yake akiwa na gwiji wa Bango Mzee Ngala mwenyewe,yaliyofuata ni Kuwa kuna collabo kati ya Odinareh na Mzee Ngala. Baada ya hapo, vilevile rapper Kaa la Moto aliachia picha yake na kudai kuwa pia yeye yupo katika pilkapilka za kuangusha kibao kipya akimshirikisha mzee Ngala. Yaonekana jamaa hawa wamekimbia kwa mzee kupata busara na maarifa.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!