USHAIRI JASIRI: KUTANA NA GWIJI WA MASHAIRI MAMBOLEO.


Mamboleo ni Swahili poet ama mshairi anayetumia lugha ya kiswahili. 
Mshairi Mamboleo anafanya sanaa yake hapa nchini Kenya na amekuwa akifanya kazi na Mrisho Mpoto wa Bongo.






Jamaa huyu kwa sasa ameachilia kazi mpya kwa jina Kumekucha


Hii ni project ya kuhamasisha jamii kutokana na ubaya wa ukeketaji (Anti-Fgm).



Kazi hii yake mpya inaelimisha sana jamii hasa wanafunzi na pia media. Ni njia mojawapo ya vile sanaa hutumika kufunza jamii za Kiafrika. Ni project amefanya na shirika la The guardian kutoka Uingereza.
Unaweza kuitazama Video Yenyewe hapa ===> https://www.youtube.com/watch?v=rGcCm0lh6wU&feature=youtu.be  

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!