HIVI UTENGANO UPO KATI YA KIGOTO NA PRODUZA TK2??????


Baada ya kutoa nyimbo NIKO NAWE akiwa kwenye kikosi cha muziki cha NUMBER ONE ACADEMIA,msanii aliyetamba kwa kibao AIRE ameonekana kumkwepa kwepa meneja wake TK2 ambaye vilevile ni Produza wa studio ya NUMBER ONE RECORDS. Fununu zinazojiri in kuwa Kigoto amepata mfadhili na meneja mpya jijini Nairobi. Kigoto amepachika picha tofauti tofauti mitandaoni akiwa studio kadha wa kadha hali iliyozua maswali kibao kwa mashabiki. Katika pitapita zetu mitandaoni tulipatana na picha ya Kigoto akiwa na Produza Jilly, producer Jilly ndiye aliyeandaa wimbo NAONA BADO wa SUDIBOY na AMILEENA.Vilevile producer huyu huwa studio inayojulikana kama Higher levels.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!