BAADA YA MIAKA TISA AKOTHEE AAMUA KUIHAMA MOMBASA.


Msanii wa kike mwenye hela zaidi Kenya ameamua kuaga maisha ya Uswazi.Akothee ambaye ameishi mjini Mombasa kwa miaka tisa amehamia jijini Nairobi. Msanii huyu aliye na vibao motomoto kama vile Shangerera alipachika ujumbe huu kwenye mtandao............
"“MOMBASA WAS REAL, 9 YEARS
OF FUN MPAKA NIKATOKA NA
VIKOMBE , A REAL EXAMPLE OF A
NOMADIC WOMAN SEARCHING FOR
A GREENER PASTURE!YAANI
PASTORALIST. SEE YOU
SOMEDAY ‪#‎MOMBASA‬ I MISS YOU
ALREADY ,I WILL CLIMB
MOUNTAINS FOR MY
CUBS ‪#‎TEAMPOSITIVITY‬ #"

Kwaheri Akothee.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!