HIVI DOGO RICHY NA CHIKUZEE WALIKUWA WANAMJIBU SUSUMILA KWENYE WIMBO WAO MPYA????


Baada ya Susumila kutoa wimbo TULIZA NYAVU akiwaingililia baadhi ya wasanii ambao hakuwataja kwa jina.Dogo Richy na Chikuzee walikuja pamoja kufanya collabo kwa jina MUZIKI ambayo twashuku sana ilikuwa reply ya TULIZA NYAVU.Kwenye intro ya wimbo huo maneno haya yanaskika.............
"tutulize nyavu vipi ilhali nyavu zenyewe zimetoboka"
Sasa hayo mengine mtajaza....

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!