VITA ULIANZIA WAPI KATI YA MADINI KENYA CLASSIC NA KAA LA MOTO KIUMBE?

 Msanii mwenye miondoko wenye flava za kibongo au mwana mlezi wa mapenzi anaejulikana kwa jina Madini Kenya Classic amponda msanii wa pwani mwenye mtindo wa kufoka anaetajika kwa jina la Kaa La Moto Kiumbe kwamba hana mashairi mazito za kuvutia na kuleta maana kwenye jamii kama ilivyo ada msanii kio cha jamii ila anaungaunga kwa kutaja watu majina kama vile wasanii wenzake na wanasiasa jambo ambalo kama msanii kidogo inakera ila Madini anazidi kusema hata hivyo ana ujanja ya kufanya mashabiki zake wapagawe anasema Kaa La Moto anaiga msanii wa Tanzania maarufu kama ‪#‎FidQ‬ ila bado hajagundua mtindo wake kama mchanaji ...akielezea wasanii ambao anawakubali amewataja kwenye mchezo wa hiphop anamtaja...‪#‎Kaligraph‬ ‪#‎CrazyK‬ ‪#‎Rabbit‬ na cha ajabu akagusia msanii chipkizi anae julikana kama ‪#‎Noblemirror92‬ na kusema anamkubali sana kwani huyu msanii amewahi mvitia kwa mistari wenye ukomavu....Hata hivyo alimalizia kusema kwamba amewahi fanya kazi na Kaa La Moto Kiumbe pamoja na Noblemirror92 akiwa kwenye chorus huku hawa marapa wawili wakichana....tafta hio kazi kwenye mdundo kwa jina la ‪#‎Chiniyajua‬....
Kutoka kwa @Habari za Nyanza Kisumupacho



Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!