NATAKA KUM****** SOCILITE HUDDAH MONROE -ODINAREH BINGWA APASUA MBARIKA!!!!



Odinareh yule ambaye wengi wetu humuita bingwa amezuka tena. Jamaa huyo ambaye huwa na maneno mazito na hulka za kutajikatajika kila mara ameamua kutoa dukuduku lake la moyo. Odibareh alikuja bayana na kudai kuwa anamzimia sana sociliate Huddah monroe na anatamani kum***** sana!!!
"Namtafuta kwa udi na uvumba na tayari mikakati nishaweka kwa hivyo nipo safarini kuelekea Nairobi",alisema Bingwa. Huku hayo yakizidi kujiri, rapper huyu kwa sasa anapepea angani kwa kibao chake kipya ALL NIGHT LONG ambacho kinatikisa spika kwa redio stesheni zote nchini Kwa sasa kibao hicho kipo nambari tatu kwenye radio show ya capital fm hits not homework.
Je Huddah upo tayari...manake una rambo naye bingwa ana mua!!

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!