MWENDA TEZI NA OMO MAREJEO NI.......????


Baada ya kutengana na produza Tk2 kutokana na tofauti zilizozuka kati ya msanii Susumila na studio ya Number records.Chikuzee aliwachwa mataani asijue la kufanya.Kimya hiki kilizua maswali mengi na matokeo yalimfanya msanii Chikuzee kuingia mitini kisanaa asijue la kufanya.Jana produza Tk2 wa Number one records alivunja ukimya na kusema due to public demand ameamua kumchukua ChikuZee tena ili kufanya kazi naye.Tayari produza na msanii huyu wametayarisha kibao kipya kwa jina Simuachi.Ama kweli mwenda tezi na omo marejeo.......ni ngamani.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!