DAAAAAAHHHHHHHH..........HII NI SHIDAAAAA!!!!!!!!! LABDA HAYA NI MANENO YA PRESENTA GATES MGENGE BAADA YA SHOW YA MAMANGINA??


 Baada ya baadhi ya wasanii kulalimika baada ya show ya juzi ya Mamangina. Presenta Eric Gates wa Mashavmashav aliyekuwa mc hiyo siku, jamaa huyo aliamua kupachika maneno fulani ambayo hatuwezi sema ni ya mistari ya nyimbo fulani au fikira zake kwa wanaomzungumzia mabaya....... Gates aliandika haya(TUKINUU)..... . Eric Mmu Bonga mbaya mi na cheka .....kama Ni ganji nitaokota.Natesa Yesterday at 15:18 · Public Hayo ni tisa,kumi ni kuwa wasiwasi wako ndilo jibu lako!!!

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!