MASSIGER-BANANGE VIDEO KALI SANA!!!!!

Huku wanamuziki wa Kenya wakizidi kuparamia kwenye tasnia ya muziki wa Afrika mashariki.Msanii mpya kabisa kwenye ulingo wa hii sanaa ameamua kuingia ndani ya studio kubwa nchini Kenya Ogopa djs na kufanya video itakayo wazuzua wengi.Msanii Massiger ameachia video yake kwa jina BANANGE na bila shaka video hiii ni ya kipekee kwani imeandaliwa kwa hali juu.Pata kuitazama

Comments

Popular posts from this blog

SUDI MANJEWAYNE :THE PWANI KING OF DISS DISSES AGAIN IN HIS NEW SINGLE 'WATAJISHUKU"

WAZEE WETU WA KILIFI SIO WACHAWI-MSANII P-DAY AONGEA