MASSIGER-BANANGE VIDEO KALI SANA!!!!!

Huku wanamuziki wa Kenya wakizidi kuparamia kwenye tasnia ya muziki wa Afrika mashariki.Msanii mpya kabisa kwenye ulingo wa hii sanaa ameamua kuingia ndani ya studio kubwa nchini Kenya Ogopa djs na kufanya video itakayo wazuzua wengi.Msanii Massiger ameachia video yake kwa jina BANANGE na bila shaka video hiii ni ya kipekee kwani imeandaliwa kwa hali juu.Pata kuitazama

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!