THE SEASIDE AND LAKESIDE COMES TOGETHER.

Wimbo mpya Wa Odinareh Bingwa #Tunazidikuwa aliomshirikisha msanii Wa kisumu Poppa Don wapokelewa vyema Kisumu na Nairobi..wimbo huo ambao chini ya masaa manne ya kuachiwa ulichezwa katika station za Homeboyz radio na Hot 96 na kuachiliwa rasmi kwa show ya Dj finalkut hiphop culture jumamosi kwenye Homeboyz redio..Leo Atakua kwenye mambo mseto na mzaZi Tuva kwenye hiphop Tuesday akiendelea na harakati hizo.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!