NYOTA NDOGO AWAAMBIA WASANII WAVUE CHUPI!!!!! pata uhondo hapa...............


Nyota Ndogo au ukipenda mama mlezi wa sanaa ya pwani ana jambo la kuwaambia wasanii waliona tabia ya kupiga picha wakiwa nusu uchi kama njia ya mauzo au kupata 'fame'.Msanii huyu alikuwa na haya ya kunena.

"Kama usanii ni uchi ndio munapiga picha za kutuonyesha miili yenu.vueni mpaka chupi tuone kila kitu msituzingue bana VUENI CHUPI TUONE."


Comments

Popular posts from this blog

SUDI MANJEWAYNE :THE PWANI KING OF DISS DISSES AGAIN IN HIS NEW SINGLE 'WATAJISHUKU"

WAZEE WETU WA KILIFI SIO WACHAWI-MSANII P-DAY AONGEA