Posts

Showing posts from June, 2014

SIO YULE BY SULTAN WA PWANI ft CHIKUZEE

Image
INTRO CHORUS  Aha Si yo yo Sio yuleee..eh(sio yule)  Aha Sio yo yo Sio yulee..eh(sio yule)  Mwanamme gani hata pesa anapatiwa  Mwanamme gani hata nguo anavishwa  Mwanamme gani hata za nyumba anatumiwa  Aha Si yo yo Sio yuleee..eh (Nasema sio yule dada)  Aha Sio yo yo Sio yulee..eh  (Jichunge nae yule dada)  VERSE 1: CHIKUZEE Wala usiwahi kua na pupa ya mapenzi, hilo mimi nshakwambia,  Na utakuja kujuta ile kishenzi, hapo ulipo nshapitia,  Usishoboke nae katu …. Uhhh, Wasubiri wengi waja ……. Ahhh, Uhh wale washachapwa chapwa chapwa chapwa wangapi, hata wewe unajitia,  Uhh aibu yako aibu yangu, mi mwenzio nakuhurumia,  Huu mwiba unaojichoma wewe hata mimi unaniingia,  CHORUS  Aha Si yo yo, Sio yuleee..eh (sio yule)  Aha Sio yo yo, Sio yulee..eh (sio yule) Mwanamme gani hata pesa anapatiwa  Mwanamme gani hata nguo anavishwa  Mwanamme gani hata za nyumba anatumiwa  Aha Si yo yo, Sio yuleee..eh (Nasema sio yule dada)  Aha Sio yo yo, Sio yulee..eh (Jichunge nae yul

DOGO RICHIE - MAPENZI HAYANA MJUZI Lyrics

Oooooohhh  hayana mjuzi  Yeeeeaaahh  Oooooohhh Aaah Ndivyo yalivyo hayana mjuzi Sivyo yalivyo ….  Eh bwana Eeeeh VERSE 1  Wanasema mapenzi maji ya moto ukicheza yatakuunguza,  Wako wengi wamepitia changamoto za mapenzi tukawapoteza,  Yeaah anakwambia I love, you kumbe moyoni hupo ndani  Eti baby I miss you, kumbe mwenzako kifuani  Anakwambia I love you, kumbe moyoni hupo ndani  Eti baby I miss you, kumbe mwenzako yuko ndani  Kumbe unaempendaga, hajakupendaga  Na anaye mpendaga, hajampendaga … Aaah  CHORUS  Mapenzi bwana, Ndivyo yalivyo,  hayana mjuzi Mapenzi kwanza,  Sivyo yalivyo, kuwa tayari kuwa soo  Mapenzi bwana, Ndivyo yalivyo,  kumbe hayana mjuzi  Sivyo yalivyo, kuwa tayari kuwa soo  VERSE 2  Mapenzi hebu tangulia, ushatawala dunia  Aaah Nani hajalia, Eeeeh Aaah Umewakata wengi nia, na wakadidimia  Aaah hebu tulia, Aaah kwani huchoki umizaa  Mara unaempendaga, hajakupendaga Na anaye mpendaga, hajampendaga  Mara unaempendaga, hajakupendaga Na anaye mpend

Kutana na Faith, Actress mkali kutoka KABAKA FILMSWORKS

Image
Faith ni mwanadada aliyehusika katika filamu inayoandaliwa mjini Malindi City na kampuni la KABAKA FILMWORKS.FIlamu yenyewe inafahamika kama THE LOST RING iliyosheheni mastar wanguvu kama Jitu zee wa GBT,Mbuyu wa TABAKA,Marvelous,Princess R,Faith na wengineo wengi.THE LOST RING coming soon. Courtesy of Malindi Superstars

QUEEN EVE APATA DEAL NA PWANI TV

Image
Event organiser na mfanyibiashara kutoka humu pwani Eve Queen amepata deal ya kuleta kipindi kwenye Pwani T.V. Kulingana na mawasiliano yetu naye hapo awali, Eve alitueleza kuwa kipindi chenyewe kinachoitwa The Dhowbiz, kitakuwa kikipeperushwa hewani wakati wowote kutoka sasa. Baadaye, aliupdate kwenye mitandao ya kijamii. Kwa wote walio niombea dua njema Mungu amejibu na kunitendea tena, leo nimetia saini kwa kipindi changu The Showbiz kua hewani katika Pwani Tv, nawapenda sana sana

KAA LA MOTO ATOA USHAURI KWA VIJANA WANAOTUMIWA VIBAYA KISIASA

Image
Huku hali ya usalama nchini ikizidi kukumbwa na utata, mkali wa HipHop kutoka pwani Kaa La Moto amejitokeza na kutoa ushauri wake kwa vijana wanaotumika kufanya uhalifu na ugaidi.  "Sometimes mafans wanauliza, kwanini unapenda kuimba maisha au maswala ya jamii mbalimbali.Yah jibu,siwezi kuimba starehe huku sehemu kama MPEKETONI watu wanakufa,Mara nchi pia imejaa hamaki za Kisiasa na Ugaidi,hatujui yupi mkweli. #But ningesema kuwa, Wanaofanya uhalifu au kutumwa kufanya, wafanye kwa majina yao na sio kwa JINA LA DINI FLANI ili mradi uharibu Dini zingine. Nahisi kuwa labda NCHI imeuzwa na aliyeuziwa kasepa na vyeti.Nahisi Starehe imeletewa Mzungu,huku Afrika tuungane kuleta USAWA."

Producer Khalid ajitetea akisema hana chuki na Rap Dem wal Shamaniz.

Image
Hali ya sintofahamu inazidi kuizunguka Million records baada ya wasaani wawili wa kike Rap dem amabaye anadai anataka kuondoka nchini kwenda Dubai na Shamaniz kukosa kufika studio kama ilivyo afikiwa kwenye mikataba yao na produc er na maneja wao. Meza yetu ya umbea imezungumza na producer Khalid ambaye amsema kuwa msani Rap Dem alimwomba ruhusa ya kusafri kwenda Dubai mwezi May lakini akakiri kuwa kufikia sasa hajui iwapo Rap Dem alienda Dubai ama bado yuko nchini. “Rap dem aliniomba nimruhusu aende dubai.mimi sikuona issue coz alisema life inampa challenges mob” alisema producer Khalid Khalid amesema Shamaniz hajafika studio toka walipozozana miezi kadhaa iliyopita hadi alipo kutana na Musa Babaz. “Nilionana na Musa babaz kwa bahati mbaya,so ikabidi tujuane,chikuzee pia alikuwa.So b4 tuongee tukaona bora tumuite shamaniz aje ndio tuwe wote watatu,ilikuwa mtopanga a few days after tukuje studio na shamaniz” alisema producer Khalid Kalid alisema kwenye mazungum

RAPDEM AJITETEA KUHUSU VISINGIZIO VYA A MILLION RECORDZ NA PRODUZA KHALID.

Image
Produza wa A Million recordz,produza Khalid alipokuja wazi na kumshtumu Rap Dem kwenye mtandao wa facebook.Rapdem leo hii amesafisha jina lako na kuandika taarifa hii...." it seems coast showbiz the only way ya kusolve issues is via fb, kuanikana..WellLem Try and clear some virus out, Wen i signed my contract with A Million Records, Sikuisainia apa Fb, infact wengi hawajui i was signed, writn on your wal, i do assume sikuiona, so i demand an Official Written latter with a sign to whom it may concern, We are in 21st Century and am nolonger that naive, ukisema nimekuletea Hasara, plz spare my ribs, i mean how? i thought it was an agreement we signed, u were not doing it for free or? u had som confidence in me, so it should not pain you, ju hakuna day nimekushow am breakn de agreement, u started, as my manage ukiona niko kimya kwani huezi kukonfirm? Unasema u normally pay Presentaz, madj, newspapers, na mablogger, waniangazie, am really shocked coz wen ma dark side

TEDDY MWANAMGAMBO: THE ONLY HOPE FOR COASTAL UPCOMING ARTISTES.

Image
Read Teddy's amazing story behind CHIPKIZI ZA KAYA music programe>>CHIPKIZI ZA KAYA Every SUNDAY 10pm – Midnight Chipkzi Za Kaya program proposal was my final year paper presentation when I majored in Electronic Media back in the Campus days. When I joined Radio Kaya 93.1 Msa 94.9Voi 99.7Mlnd back in 2008 immediately after I cleared campus, I presented the same Program proposal and Chipkizi Za Kaya was born, every Sunday from 10pm. To me Chipkizi Za Kaya is more than a program but a calling to me and that is why it’s close to my heart and has been able to stand time and nature most talents. At a personal level my joy is to offer a solution to the problem of lack of airplay for budding artists. I share their struggles each step and humbled when I meet some big coast artists whom we share moments from back in the days. Chipikizi Za Kaya has enable Radio Kaya 93.1 Msa 94.9Voi 99.7Mlnd as a responsible organization to give back to the coastal community especially t

KOLOA||

Image
The curse of the moon ama ukipenda The blessing of the moon ilo directiwa na Gift payne,sasa ipo madukani.Ni filamu yakusisimua na mvuto wakipekee.Pata nakala yako ujione nini Maana ya KOLOA. Courtesy of Malindi Superstars 

VIVONCE THE FLAGLADY AWAHIMIZA WASANII WA KIKE PWANI WAWE NA USHIRIKIANO.

Image
Huku sanaa ya pwani ikiwa na wingi wa wanamuziki wa kiume na wachache mno wa kike,msanii Vivonce amejitokeza bayana na kuwaita pamoja wasanii wa kike ili wawe na umoja.Tukimsheherekea Nyota Ndogo kwa hatua kubwa aliyopiga kuiwakilisha pwani nchini USA kwa tamasha la muziki,Vivonce the flag lady amechoshwa na utengano ulio na madivas wa sanaa ya pwani.Msanii huyu ambaye hivi majuzi amevuma kwa kibao chake 'yelile' na 'the jembe' alioshirikishwa na kidis alinena haya kupitia ukurasa wake wa facebook na alionyesha uchungu na wivu kwa wasanii wa kiume jinsi wanavyoshirikiana na kufanya kazi pamoja huku mabinti wakitengana.Vivonce alikuwa na haya ya kunena...."Huwa naona UWIVU ninapowaona WASANII wa kiume Pwani wanapopeana Ushauri ama kuungana mikono kwa kazi zao na wanafanya kazi katika Studio tofauti ila wana ushirikiano wa ajabu!! nimetunuku sana... Sijawai hata kuskia ama kuona kwa Wasanii wa KIKE pengine ndiyo maana kunapokuwa na sherehe yoyote mk

PRODUZA AMMZ KUJIUNGA NA SIASA 2017!!!

Image
Amepambana na uandalizi wa muziki kwa miaka kadhaa huku akiwatambulisha wasanii wakali kwenye nyanja ya sanaa ya pwani.Anaitwa produza Tone la maji au ukipenda Amz Jadidi.Produza huyu ambaye yupo ndani ya SQ recordz fununu zimejiri ya kuwa atajitosa kwenye siasa mwaka wa 2017.Amz ambaye tuliwasiliana naye pindi tu tuliposikia fununu hizo alitueleza kuwa ni kweli kuwa atajiunga na siasa mwaka wa 2017 ila bado analifikiria vizuri zaidi jambo hilo."Ni kweli kabisa kuwa nitaingia katika kiwanja cha siasa kwani wazee wangu wa sehemu ninayoishi wananipa msukumo na kunishawishi nijiunge na siasa,"Alinena Amz.Kuhusu kuacha kurekodi muziki Amz alikuwa na haya ya kusema,"Kamwe sitowacha kurekodi na kuandaa muziki,bado mimi ni produza na nitaendelea kuwa produza hata nikiwa siasani

KALONZO MUSYOKA'S SON K-DEUCE IN A NEW HIP HOP TRACK DUBBED ‘LOOKING UP’

Late last year, former Vice President Kalonzo Musyoka’s son K-Deuces hit the music stables with the likes of Franco Cypher, Kanyeria, Pro, RD, Khaligraph, Kristoff and released a rap jam with Lingala tone which was a tribute to the late Franco. He is at it again but this time round with a slum based hip-hop group, Dandora Music. This group is composed of mainly teenagers who got real talent. In the track ‘looking up’, they are telling their story as they and many other slum kids see it and people like Juliani , Kalamashaka and many others started off in such humble beginnings.

MEET MUHELA BADRU MOMBASA'S FINEST ACTRESS.

Image
Real Name: Khadija Abdulqadir. Nick name: Badru.  She started acting in primary school and high school level and after school she joined Azhar arts troupe where they used theater to educate community through outreaches. Her first tv programe was Majaaliwa where she acted as Anisa . Currently you can call her ' Ashiners Almasi ' a character she goes by in a programe by the name Dharubu which will be on air july 2014 KBC TV.

MAKE A NAME VIDEO ODINAREH BINGWA ft OHM'S LAW MONTANA.

Image
 Wakali wa mistari na wakwasi wa mtindo wa hiphop,Odinareh na Ohm's law wamekamilisha video yao ya 'make a name'.Huku wakiendeleza mtindo wa hiphop wasaníi wamedhihirisha uwezo mkuu kwa wimbo huo kukaa kwa chart ya pwani fm mashavmashav nambari moja kwa kipindi kirefu.Japokuwa video hio ilichukua muda kuandaliwa,tulipowasiliana na Odinareh alitueleza kuwa video hio kwa sasa ipo tayari na mashabiki waipokee vyema.Hivi majuzi Odinareh alipanda stage moja na msanii Octopizo kwa tamasha la Coke.Vilevile,msanii alitudokezea kuwa anatayarisha nyimbo kali akimshirikisha msanii fulani wa Nairobi aliye na ufanisi mkubwa. cheki ngoma yenyewe hapa

ANOTHER MASSIVE HIT!! SHILINGI YANGU-KENRAZY,DNA & V6

Image
 Kwa mara nyingine tena wakali wa serikali ya Grandpa recordz wamerudi tena kwa mshindo mkuu. Huku wakiwa wakali kwanza kwenye ulingo wa mziki wa Afrika mashariki, Kenrazy,DNA na V6 wameandaa video ya wimbo wao Shilingi yangu .Wimbo huo bila shaka utatifua kivumbi na kufanya mashabiki wengi watake mipasho zaidi kutoka kwa kikosi hicho.

Exclusive! NYOTA NDOGO KUELEKEA WASHINGTON DC,USA KWA FESTIVAL YA MUZIKI PAMOJA NA WASANII WENGINE!

Image
 Binti mzawa wa pwani ambaye wengi wanamuita mama wa muziki wa pwani,Nyota Ndogo ana tabasamu kubwa kwa kupata nafasi ya kwenda kwa tamasha la kimataifa litakalofanyika Washington Dc USA.Festival hio ambayo ni ya wanamuziki wa kizazi kipya wanaoweza kuimba live na band itakuwa ya siku kumi na tano na Nyota Ndogo ni baadhi ya arubaini waliochaguliwa kufanikisha tamasha hilo.Tuliwasiliana na Nyota Ndogo na alitueleza hivi.... "Hii jumamosi nitakua naondoka Kenya kuelekea USA kwenye festival kubwa inayokwenda kwa siku kumi na tano.Mimi ni msanii mmoja kati ya arubaini na tano waliochaguliwa kuwakilisha kenya and i'm pround nimetoka mombasa.Mimi suzana owiyo,Eric wainaina,Musaimo,Idd­ achieng,wale wanamziki wa afro pekee,tupo wengi tu ila kikubwa najivunia kuwa natoka mombasa.Tutakua huko kwa mwezi mzima tukifanya tour sehemu tofauti tofauti za nchi hio..." Twamtakia kila la kheri Nyota Ndogo anapokwenda kuiwakilisha pwani kimataifa na kweli amepatia wasanii

TED JOSIAH AJITOLEA KUFANYA KAZI NA UPCOMING ARTISTES DAIMA NA HAIGOPI KAMWE!!

Image
Wengi wanamfahamu kama pioneer wa muziki wa Kenya na vilevile ukimuita legend hutakua hujakosea.Tunamzungumzia produza gwiji na shupavu Ted Josiah.Produza huyu amerudi chini kabisa kutafuta talanta changa na mpya ili kuweza kuzikuza.Huku akiwa na sifa kemkem za kuwatoa wasanii gwiji kama Gidigidi Majimaji,Wyre,Nazizi,Prezzo na wengine wengi.Ted amekiri ya kwamba daima atafanya kazi na wasanii wanaochipuka wa hapa Kenya hadi wapate mafanikio.Tukimnukuu kupitia ukurasa wake wa facebook,Josiah alinakili haya......"I am not ashamed to get my hands dirty, to be laughed at when i am down in the trenches helping new talent come to the front. I am proud to be Kenyan and will make sure our Kenyan talent becomes as big as any talent anywhere in the world. Lets start being very proud of who we are. I AM LOUD PROUD AND KENYAN" Huku akiyanena haya,produza huyu amedhihirisha bidii yake ya kukuza sanaa kwani tayari amewasajili wasanii Hustla-Jay na Iddi Hemedi wanaotokea hapa

VIDEO MPYA YA BENSO 'PHONTO' AKIMSHIRIKISHA MISS GG.

Image
Huku akiwa anajivunia kuwa katika anga zote za muziki wa pwani na Nairobi,msanii Benso amekaza buti zaidi na raundi hii amejitwika mzigo na kutuachia kibao kikali kwa jina 'phonto' akimshirikisha binti kwa jina miss GG.  Huku akiwa ameandaa wimbo huu kwa mtindo wa mchanganyiko wa Kwaito na Kapuka,Benso amedhihirisha uwezo mkubwa kuingia soko la muziki wa afrika mashariki. Miss GG amepamba chorus kwa sauti yake ya kuvutia na Benso kuangusha mistari mikali kwenye verse. Video ya nyimbo hiyo iliandaliwa na Thome wa Boomba pictures huku audio ikiandaliwa chini ya studio za stantmastaz. Vilevile video ya 'phonto' ilipeperushwa kwa mara ya kwanza kwenye kipindi cha Homegrown Kbc kwenye interview na Dj Hassan.

FIVE THINGS YOU DIDN'T KNOW ABOUT KAYA'S SISTA SHANIZ!!

Image
1.Sis Shaniz is Tanzanian-kenyan, 2. She is a 3 times award winning female radio presenter  3.High school anti-drug ambassador(Campaign against the use of drugs),  4.She is a shy girl, very shy though very aggressive,  5.When free she likes reading articles, listening to music, cooking and sleeping.

MEET BAWAZIR:THE SEVENTEEN YEAR OLD RnB ARTISTE

 Pwani Usaníi:Whats your biological name?  BAWAZIR: My real name is swaleh.  PU:Tell us a little bit about yourself  Bawazir:i'm the firstborn of one of the biggest musician in e.afrcica,since ma dad and mum are musicians i inherited it all. PU:Have many songs have you released?  BAWAZIR:nimerealese only one song na inaitwa Natamani. PU:Whats so unique about you? Bawaziri:i'­m one of the strongest vocalist hoppin to wakilisha coast in africa. PU:How old are you?   BAWAZIR:niko seventeen years  Pu:When did you start music: Bawazir: I started ma music career in 2012. PU:What type of music do you do? BAWAZIR:i do mostly african style. PU:Which E.Africa artiste would like to work wike?  Bawazir: I wish to work with eric wainaina because I love his music

SUDI MANJEWAYNE :THE PWANI KING OF DISS DISSES AGAIN IN HIS NEW SINGLE 'WATAJISHUKU"

Image
Rapper Sudi Manjewayne the Self-proclaimed Pwani king of diss is back again with a big hit. Manjewa,popularly known for his lyrical creativity which openly creates irony,sarcasm and brings out a melodramatic character in his music gained fame when he did his disstrack tittled 'Hili Game' and later 'Tatizo Ushamba'. There was a time rapper Sudi landed himself in trouble when he dissed two well-known record label owners,the guys wanted to attack rapper Manjewa physicaly. Under the heavyweight producer Morbiz of Thundersound recordz, Sudi Manjewa has delivered a master-piece-of art song which will give the other coastal rappers a shock.Manjewa's flow and lyrical prowess did miracle to the beat and dissing fake producers,promoters and presenters added more flavour to it .The song tittled WATAJISHUKU is already out and coastal music fans should be ready to give an ear to it.JE WAJISHUKU?

DAZLAH KUANDAA VIDEO YA 'BANGEREBA' JUMAMOSI HII.

Image
Alianza kwa kasi na katu ameahidi kutopunguza speed yake,Kiduche almaarufu Dazlah aliyewapa vibao motomoto kama ; Dada, Shemeji, Safari Njema ,Mlevi wa Mapenzi na vingine vingi jumamosi hii atakuwa akiandaa video ya wimbo wake BANGEREBA. Wengi waliodhani kuwa msanii huyu yupo chini ya Candy n Candy wamekosea kwani produza Tee ambaye pia ni meneja wa Dazlah alitueleza kuwa wimbo BANGEREBA upo chini ya studio ya Tee hits na video yake itaandaliwa na kampuni ya Black Merg videos,director BwoyP.Tee alitueleza hivi," ngoma itakayoandaliwa video jumamosi hii ni Bangereba anafanya na kampuni inaitwa Black Merg director anaitwa Bwoy P".

OHM'S LAW AMSHIRIKISHA SIMPLE BOY KWA WIMBO POLENI.

Image
Alijitosa kwenye anga za muziki na kuapa kujibidiisha kila uchao, tunamzunguzia Rapper Ohm's law Montana. Msanii huyu ambaye kwa sasa ameziteka nyoyo za mashabiki kwa kuipiku style ya hiphop na kuitendea haki,ametoa kibao kipya kinachowazungumzia mashujaa waliotuacha.  Wimbo huo kwa jina 'poleni' uliandaliwa chini ya mbawa zake produza Teknixx huku mkali wa mafleva ya maloveydovey Simple-boy akidondosha chorus ya uhakika.Wimbo huo tayari ushaanza kupata ufanisi mkuu na Ohm's law ametuhakikishia kuiandalia nyimbo hio,video kali itakayowaacha wengi wetu wazi.

STANTMASTAZ ENTERTAINMENT YAFUNGUKA KUHUSU BEEF YAO NA LAVICHUNARE NA KUSAJILI ALI BABAZ.

Image
 Baada ya kufanya kazi pamoja kwa muda mchache,wasanii Lavichunare na Studio ya Stantmastaz walitengana kwa njia mbaya. Lavichunare kupitia meza yetu ya habari walidai kuwa Stantmastaz recordz iliwachukua na kuwafanyisha kazi za kimuziki ili kujinufaisha. Tulipowasiliana na mmoja wa kundi hilo, alitueleza kuwa studio hio inajinufaisha kupitia jasho lao na hata kurelease kazi zao za studio zikiwa bado hazijaisha.  Wiki chache zilizopita tulijaribu kuwasiliana na meneja wa Stantmastaz na alidai ya kuwa hizo zilikuwa porojo tu. Jana kwenye ukurasa wa facebook wa Stantmastaz ilibainika wazi kuwa maneno haya yaliwalenga lavichunare. Tukiyachukulia kama majibu na ufafanuzi wa Stantmastaz basi hatuna budi kusema kuwa Lavichunare wametupiliwa mbali na stantmastaz wamemsajili msanii mkali anayeibukia kwa jina Ali Babaz.  Stantmastaz waliandika haya,nikinukuu kutoka kwa facebook ....." Nataka kuuliza swali... group ya wasanii wakivunjika wakawa kando kando wanaitwa nani... n
Image
MALINDI MOVIE MAGIC ya achili filamu babu kubwa inayofahamika kama DAMU YANISALITI.Tegea uhondo #MalindiSuperstarz

TOP EIGHT MALE BEST DRESSED COASTAL KENYA CELEBRITIES.

Image
8. Munga Arnold Munga   7 .Produza Totti  Totti 6 . Dazlah Dazlah  5. Pmg  pmg 4. Eric Omteri Eric  3.Flim C  Flim C 2.Sleem G Sleem G 1.Brown   Brown

EXCLUSIVE INTERVIEW: MWINYI KAZUNGU MTETEZI ATETEA SANAA YA PWANI!

Image
 Pwani Usanii: Umekua kwa industry ya muziki for long,ni wasanii wapi wa pwani unaofagilia kazi zao? Mwinyi Mtetezi Kazungu: Wako kadhaa na sio ati ni kwa ajili ya majina.kwa mfano msanii Dogo Richie.amekuwa kwa usanii muda mfupi lakini kipaji chake hakina mfano.msanii huyu licha ya yeye kuimba peke yake kwenye vibao vyake.ameonyesha wazii kwamba ana nguvu za kuwapiku wasanii waliomtangulia na kwa kweli anaenda mbali.walioanzisha mziki pwani kama vile.nyota ndogo,ali b,cannibal na sharama,ruff daddy na ruff touch,prince adio miongoni mwa wasanii wengine hao ni vigogo.lakini kuna kina susumila,escoba,rojo­ mo,chikuzee,fisherma­n na producer totti haya ni majina yaliopo juu.  Pwani Usanii: Ahsante. Halafu wasanii wa pwani wamekuwa wakilalama sana kutopata airplay Nairobi,maoni yako ni gani kwa jambo hilo?  Mwinyi Mtetezi Kazungu: Kuna ile dhana ya kuwa wasanii kutoka pwani wako na ule uvivu flani.ingawaje mimi napinga hilo.karibuni tumeona wasanii kadhaa wakipata shows

KIDIS APATWA NA TETESI HUKU AKIJITAYARISHA KWA KIBAO KIPYA.

Image
Huku akijivunia mavuno yake ya wimbo 'Kamua leo remix' msanii Nesphory Simbiga almaarufu Kidis amekumbwa na tetesi zinazovuma kwenye magazeti ya kuwa ameyasahau majukumu ya ulezi.Kidis ambaye kamwe amekimya kwa tetesi hizi,lengo lake kuu ni kuhifadhi heshima na hadhi kama msanii anayeheshimika kwa jamii tofauti.Kulingana na utafiti wetu,Kidis amejaribu kunena yanayomsibu kupitia wimbo wake 'The Jembe' aliomshirikisha Vivonce.Vilevile,msanii huyu japokuwa anakumbwa na uvumi,propaganda na tetesi hizi bado yupo imara na ameonyesha bidii zaidi pale alipotangaza wazi kuwa yupo kwenye maandalizi au tayari ameshaanda wimbo akishirikiana na msanii wa kimataifa STL.