DJ IVORY(PEMBE ZA NDOVU) VS DJ BUNDUKI (MARISASI) WAKIKWARIZANA NANI MKALI ZAIDI KWA MIXX?

Pwani imezidi kupanuka na kukua kubwa zaidi kwa showbiz. Hivyo basi vipaji vipya vimeenuka na vijana wengi wanasema wazee wanapaswa kufunga mizigo waende retire. Sasa dj Ivory amewasili na dj Bunduki alikuwapo ila wamkubali nani zaidi?

 

Comments

Post a Comment