GAVANA HASSAN JOHO........SISEMI KITU


Huko akiendeleza miradi bumbum na kukuza uchumi,Gavana wetu shupavu alijitosa uwanjani hivi majuzi kusakata kabumbu. Mheshimiwa Ali Hasan Joho alikua kwenye uwanja wa Mlaleo 7-aside akipiga chenga mbili tatu.

Uwanja huo uliotengenezwa kwenye safu za kimataifa utakua mstari mbele kukuza uchezaji soka miongoni mwa vijana wa pwani.

Akiwa pamoja na Mheshiwa Bedzimba,Joho alionyesha weledi wake wa kutikisa nyavu na kuzituliza Vilevile.Tazama picha....

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!