BREAKING NEWS!!PRODUZA MORBIZ APIGWA RISASI.



Produza mashuhuri wa pwani Morbiz wa studio ya Thundersound iliyopo Maeneo ya Likoni alimiminwa risasi ya kichwa na kufariki papo hapo.

Tukio hili la kuigiza kwenye video ya Jaffarizoh lilifanyika kuonyesha mifano huru ya jinsi utu unavyokosekana kwa ajili ya pesa.

Morbiz alikua anaigiza kama mnunuzi wa shamba pale alipomiminwa risasi ya kichwa. Jaffarizoh,msanii mwenye video hiyo iliyoandaliwa na Bullet wa Stunner Pictures ameonekana akifanya msukumo wa kila aina ili kuipa msukumo video hiyo ya Pesa. Pata kuitazama video yenyewe kwenye mtandao wa youtube jinsi Produza Morbiz alivyoigiza-->>>>>
 http://www.youtube.com/watch?v=CuzLCyRWDAchttps://youtu.be/CuzLCyRWDAc

Comments

Popular posts from this blog

SUDI MANJEWAYNE :THE PWANI KING OF DISS DISSES AGAIN IN HIS NEW SINGLE 'WATAJISHUKU"

WAZEE WETU WA KILIFI SIO WACHAWI-MSANII P-DAY AONGEA