Posts

Showing posts from August, 2015

NOMINATION GALA YA PWANI CELEBRITY AWARDS NI JUMAMOSI HII.

Image
 NI WAKATI WA KUTUZA WANAOFANYA VIZURI.....HIVI WEWE ULINOMINATE MSHIKA DAU YUPI WA SANAA??

NOMINATION GALA YA PWANI CELEBRITY AWARDS NI JUMAMOSI HII. NI WAKATI WA KUTUZA WANAOFANYA VIZURI.....HIVI WEWE ULINOMINATE MSHIKA DAU YUPI WA SANAA??

Image

NOMINATION GALA YA PWANI CELEBRITY AWARDS NI JUMAMOSI HII.NI WAKATI WA KUTUZA WANAOFANYA VIZURI.....HIVI WEWE ULINOMINATE MSHIKA DAU YUPI WA SANAA??

Image

HII NDIYO VIDEO TULIYOKUWA TUNAWAAMBIA.......KALI KULIKO ZILE ZA JAMAICA.PATA KUJUA NI YA NANI!!!

Image

MSANII WA NYIMBO ZA INJILI ANAYEWALAGHAI WATU KUPATA UMAARUFU WA HARAKA ATAMBULIKA!!!!

Image
Sio kina Kanyari na Ng'ang'a pekee bali kuna jamaa flani papa hapa pwani anayewatatiza watu ili kupata kipato chake.  Msanii huyu si mwingine bali ni BUSY BEE.  Msanii huyu wa nyimbo za injili (gospel) yasemekana kuwa amekuwa akitumia njia za kutatanisha na za uongo ili apate umaarufu. Busy alichukua poster ya show ya Willy M Tuva na kuiweka picha yake. Tukio hilo lilimuweka pabaya na Busy Bee alip onea chupuchupu. Hivi majuzi msanii huyo alidanganya watu kuwa anaandaa video na director mashuhuri Godfather ambapo ilikuwa uwongo mtupu. Leo hii, Busy Bee alichukua nyimbo ya Dogo Richy na Chikuzee-Mziki bila idhini ya wasanii wenyewe na kupachika video ikiwa na picha zake. Inasemekana Busy Bee hakuomba ruhusa yoyote kutoka kwa wasanii hao na kwa sasa wasimamizi wa studio ya Jungle Masters wanamsaka sana. Dogo Richy alikuwa na haya ya kusema kuhusu nyimbo yake kuchikuliwa na Busy Bee bila idhini....... "Nimemwambia atoe nilidhani anataka kushare link ku

RAUNDI HII NYAVU ZITATULIA WAVUVI WAVUE.........REMIX YA TULIZA NYAVU RABBIT "THE KING KAKA" YUPO NDANI.

Image
Ujumbe ulipitishwa ila haukuchoma sana ndiposa King Kaka Rabbit akaamua kuingilia kati kuongeza makali.Nyimbo iliyoleta tatanishi Tuliza Nyavu ya Susumila akiwashirikisha Vivonce na Kaa La Moto imetengezwa na kuongezwa mipasho. Raundi hii kama alivyosema Susumila "wanaozua mitandaoni watazua sana" basi tutazua sana manake hiyo extended version ndio itakayozua tetesi kibao. Huku produza Amm z akiwa na haya ya kunena kupitia ukurasa wake wa facebook............. "Ukitaka kufinika beat ya Hip Hop vile inavyopaswa mpaka umshangaze producer wako, Ongea kilicho moyoni. Hawa jamaa wamefinika beat yangu ya FL... Yaani I mean TULIZA NYAVU extended version.... Thanks Susumila Yusuf , Rabbit King Kaka , Kaa La Moto Kiumbe and Vivonce Wandia ." Wewe Je una yapi ya kunena? Ama wasubiri matokeo kutoka kwa wapinzani wao......hebu tuliza nyavu!"

NEW MUSIC ALERT: TOTTI FEAT CHIKUZEE - MIGOGORO (OFFICIAL MUSIC VIDEO)

Image
Written and Performed by Totti and Chikuzee.  This time Totti has featured One of Mombasa'a finest Artists Chikuzee in this new music video. This is the third realease since releasing HAWAKUFAI and WANGU.-------->>>>>>>>>>>

KARIBU PWANI!!!! KUTANA NA MWANAMITINDO WA KUKATA NA SHOKA!!!!

Image
JINA: Ree Bossete HOBBIES: Singing, dancing, reading novels, chatting, travelling.

TRENDING PHOTO: NYOTA NDOGO ABEBWA JUU JUU WAKATI AKIPERFORM KWA MOMBASA CULTURAL FESTIVAL AKIIMBA.

Image
UNA LIPI LA KUMWAMBIA??????

BELLARY CLASSIC: NAWAKILISHA LIKONI NDANI YA STUDIO ZA MAINSWITCH.

Image
Wanasema Likoni ndio nyumbani pa vipaji na leo nawapa hakikisho.Msanii Bellary amemua kuingia mzima mzima kuiwakilisha Likoni ndani ya jiji kubwa la Nairobi. Msanii huyu ameandaa videooja ya kukata na shoka itakayowazuzua wengi.Kwa sauti yake yenye mvuto na mapambo ya kunata mdundo,Bellary ametayarisha nyimbo kwa "kila saa" ndani ya studio mainswitch Nairobi. "Niliamua kuingia Main switch kwa sababu studio wenyewe ina producer mkali na kazi zake zasifika vilevile.'Alisema Bellary Classic. Pata kuitazama video teaser yenyewe hapa--->>>

VIVONCE AMEANDIKA UPUZI FB NA NILIPANGA NA YEYE VIZURI ILA HAKUELEWA!" PRODUZA SCOTCH FINGAZ AONGEA.

Image
Baada ya mwanadada Vivonce the Flag Lady kusema kuwa alitapeliwa na produza wa Nairobi, meza yetu ya habari iliingia chini ya carpet na kuongea na produza anayelalamikiwa na Vivonce. Produza mwenyewe si mwingine bali Scotch Fingaz wa Mandugu digital. Scotch alikana madai hayo na kumlimbikizia Vivonce lawama huku akidai kuwa Vivonce hakuelewa wala kuuliza. Produza huyu alikuwa na haya ya kunena........... "Haina haja ya kuficha....huyo producer ni mimi ila huyu Dada tulienda Malindi tukashoot part ya kiasi ya video.....anayetaka sample atume namba nimtumie kwa whatsapp....kisha ikawa yeye angependa kuichukua nyimbo iwe yake......kumbuka hapo mwanzoni mimi nilimualika aje kwangu nimfanyie kazi na mkataba wangu.....yeye kabadili na kusema angependa kuridhi mziki huo sasa inakuwa vipi mimi producer nimekataa kumpa nyimbo? Aliuliza kuridhi nyimbo nikampa bei? Hapo nilikosa au vipi? Akitaja nirudishe elfu kumi ambayo nilifanya video naweza rudisha hata sasa hivi

JE NI KWELI ALICHONENA PRODUZA HUYU? SANAA YA MUZIKI WA KENYA YAELEKEA WAPI.....

Image
East and central Africa in early 80s artists blved that doing music in Kenya will promote a big percentage in artist musical breakthrough. For example, Mzee majuto started recording redio dramas at mbwana radio service studios. That's where his breakthrough started. The late Angela chibalonza her break through in music Kenya played a big part than Congo. Jose chamilion Kenya kick started him very well.. The longombaz. And more... early 90s the table changed.Congo,Tanzania,Uganda and Nigeria. Have made it musical than we Kenyans. The big question is.. What went wrong??... Diamond platinums is a very hard working artist and he has a great teamwork behind his musical success. When diamond did the kesho video with ogopa djz in Kenya,it bosted him very much n it did very well n tz n Kenya as will. Haven't we noticed our impact?? Which artist in Kenya can we compare with diamond?? We can't deny in Kenya we have stars but we can't compare them with artists li

#THROWBACKTHURSDAY CLD,RAZ,OHZY,FLIM-C & CHIKUZEE.WAONAJE HAWA JAMAA ENZI HIZO.TOFAUTI GANI IPO SASA?

Image

HIVI DOGO RICHY NA CHIKUZEE WALIKUWA WANAMJIBU SUSUMILA KWENYE WIMBO WAO MPYA????

Image
Baada ya Susumila kutoa wimbo TULIZA NYAVU akiwaingililia baadhi ya wasanii ambao hakuwataja kwa jina.Dogo Richy na Chikuzee walikuja pamoja kufanya collabo kwa jina MUZIKI ambayo twashuku sana ilikuwa reply ya TULIZA NYAVU.Kwenye intro ya wimbo huo maneno haya yanaskika............. "tutulize nyavu vipi ilhali nyavu zenyewe zimetoboka" Sasa hayo mengine mtajaza....

"SIKUNYAMAZA!" SHINEY ATOBOA SIRI YA KIMYA CHAKE NA KUWAPA UJIO MPYA.

Image
Baada ya kushirikishwa kwenye collabo ya MY EX na Boker Jay ,binti mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni aliingia mitini na kukimya kabisa huku wengi tukidhani ameshika mkondo uliofuatwa na Shamaniz na Rapdem.Tunamzungumzia Shiney.Binti huyu tulipowasiliana naye alidai kuwa yu masomoni ila bado muziki anafanya sana na kamwe hatowabwaga mashabiki zake.Shiney alidokeza kuwa anao wimbo mpya atakao uwachilia hivi karibuni. Wimbo kwa jina MACHO(bigfoot production) na binti huyu ameeleza bayana siri kubwa inayohusu maisha yake itakayo washangaza wengi.Kwa sasa tusubiri kwani........tulia tu MACHO!!!

SUSUMILA NI MCHAWI, CHIKUZEE ADAI.

Image
Msanii kutoka Number one records CHIKUZEE amezidi kumukashifu vikali mwenzake Susumila kwa kudai eti yeye hufanya uchawi ili aweze kuepuka ushindani katika sanaa ya muziki wa pwani na amejaribu sana kumuroga ili aweze kuporomoka kimuziki na hata kuweza kumuroga na kumusabababishia ajali nne za barabarani ambazo aliweza kunusurika. Chikuzee aliweza kuthibitisha madai yake kwa kusema kwamba Susumila chumbani kwake yuko na kiti cheupe ambacho hua haruhusu mtu yeyote kukikalia isipokua yeye mwenyewe na pia nyumba yake imejaa ishara kibao za kishetani ambazo hua haruhusu mtu kuguza. Chikuzee Alimalizia kwa Kusema kwamba Susumila sio mtu Poa manake ana roho mbaya na amejaa na ubinafsi. Susumila nae kwa upande wake ametupilia mbali madai hayo na kusema chikuzee ni baadhi ya watu wasiopenda mafanikio yake.

DICE GANG YAJIZATITI KUIWEKA DIANI KWENYE MAP YA MUZIKI "DEAR MAMA "

Image
Ni kikosi kilichoamua kujifunga kibwebwe tayari kuipeperusha bendera ya southcoast Diani juu.Kikosi hiki cha muziki kuna wasanii wakali wakiwemo 1.kidcash dice 2.twiphy savage 3.tino da bigboss 4.rap keed na tayari kina video mpya kwa jina mama.Video hiyo iliyoandaliwa jiji Nairobi chini ya uandalizi wake director Kamz wa ZEZEY JNR INC PRODUCTION imewapa wasanii hawa njia mpya ya kupaa kimuziki.Vilevile Dice Gang ipo kwa matayarisho kufanya kazi mpya na Shiney chini ya Produza Baindo wa Bigfoot production. Video ya DEAR MAMA ipo kwenye mtandao wa YouTube.

BARUA WAZI KWA GAVANA WA MOMBASA NA WAHUSIKA. Huku Mombasa county ikizidi kuandaa tamasha tofauti,kuna jamaa flani hawajaridhika na wameamua kuandika barua hii------>>>>>>>soma hapa----->>>>>

Image
SIR. AM WRITTING THIS TO HON .HASSAN JOHO AND MINISTER OF YOUTH, GENDER AND SPORTS .SIR HOPE THIS FINDS YOU WELL . I HAVE RISING ISSUE HERE ALL COUNTY EVENTS HAVE NOT SEEN ANY GOSPEL ENTERTAINER . DEEJAYZ, MCEE ,ARTIST, DANCER KREW OR COMEDIAN. I THINK WE ARE DOING GREAT BUT YOU HAVE PUT US ASIDE US IF MOMBASA IS NOT CHRISTIAN COUNTY .I HUMBLY REQUEST BECAUSE WE VOTED YOU NOT US MUSLIM OR CHRISTIAN . THANK YOU.

Mziki wangu wazidi kung'ara baada ya Grandpa Records, Asema Kidis

Image
Msanii Kidis   aliyevuma kwa kibao chake Kamua leo,  amekiri kuwa taaluma yake ya kimziki imekuwa nzuri zaidi baada ya kuachana na Grandpa Records. Msanii huyu ambaye ametoa kibao chake kipya Viroboto kinacho zidikuchezwa kwenye stesheni mbalimbali,  anasemekana kuzozana na CEO wa Grandpa Records Refigah, alisema kuwa career yake   inazidi kuwa better baaada ya kuachana na Grandpa ambayo alisema hakufikia   targets zake alipokuwa pale. Hata hivyo Msanii Kidis aliongezea kuwa mziki umekuwa mgumu sana kwani hata maDJs, maproducer na hata mapresenter siku hizi wanaimba. Aliongeza kusema sasa yuko free kufanya mziki wake katika production yoyote. BY Nina Kagia

CHIKUZEE NA SUSUMILA BIFU YAZIDI KUNOGA!!!

Image
“Kama Susumila ana kichwa kigumu mimi nimeharibika na kama ananilenga mimi basi amelenga pakavu,kwanza Susu hawezi kuimba yeye afanye rap wala sikuimba mana kuimba hawezi na sisi ndio tulimfundisha Susu kuimba kwa hivyo asijiite sijui rais wa wanamziki wa pwani'’. Haya si maneno ya mwengine bali ya msanii Abdalla Chikuku almaarufu Chikuzee wakati akihojiwa na kituo cha pilipili fm. Chikuzee ambaye alishawahi kufanya collabo na Susumi la kwenye nyimbo mbili za Hidaya pamoja na Ngoma Itambae ambazo zilitamba kwenye soko la mziki wa Kenya, alimtaja msanii Susumila kama msaliti mkubwa. “Susumila ni msaliti na tulivyo kubaliana sivyo alivyo fanya na anapenda kudandia wasanii wengine ili azibe aibu yake yakutojua kuimba na kama ni star kweli atoe ngoma peke yake na ifanye vizuri hapo ndio nitamheshimu lakini kama mwendo ni huo wakudandia namwona mtu wakawaida tu,” alisema Chikuzee. Chikuzee kwa sasa anatamba kwa ngoma yake mpya kwa jina Simuachi iliyotengenezwa

"SIJAHARIBU MUZIKI!!!"DEEJAY BADAGAH ATOA KAULI YAKE.

Image
Bila shaka nyote mwamfahu Deejay Badagah aliyena sifa kemkem pwani nzima.Badagah amekuja wazi na kutoa usemi wake kuwa yeye hajaharibu muziki kama baadhi ya watu wanavyodai.Deejay huyu alikua kimya kwa muda mrefu huku nyingi ya kazi anazofanya za remix kusikika mitaani na madiskoni.Kwa kauli yake mwenyewe hivi ndivyo alivyonena, "Halo kenya coast n east afrka poleni kua kimya..cjapenda but any tym any day ntakua ewani po leni ata jamaa zangu wa radio..narekebisha mambo flani na serikali lawama ata mitaani ili mupate badaga yule yule ,kuna jamaa zangu wanafanya kama mimi ubaya kw mziki ku2mia badaga mpaka inafikia sina maana tena..ila nipo na mziki nafanya kama kawa..pliz wasiwaongopee ati ni dj badaga kuaribu mziki...poleni xana ila nipo xana mpaka mungu akatae....P.C AMANI NYOTE" NA JE WEWE KWA MAONI YAKO; DEEJAY BADAGAH AMEHARIBU AMA KUJENGA MUZIKI WA PWANI??

Watch This Space: Gospel sensation Michael Yena pens a new deal with a Nairobi based producer.

Image
First time Groove Awards winner from Mombasa county has had his good days this year. Michael Yena who hails from Kilifi County was presented with best song Coastal county at this year’s Groove Awards for his song “Rafiki”. Now you might think it was a bed of roses for him but the truth of the matter is he had to redo the video of this particular song for the second time   after the first video   could   hardly get any airplay due to its poor quality. In his acceptance speech at the awards, he said that God has been so faithful to him that he did not spend a penny in any of his videos as he got a generous producer who did everything for him free of charge. Bakari Ousman who recently moved to Mombasa from Nairobi is Yena’s producer and manager and has a newly music company down at the Coast which is currently the hotbed of uprising Coast gospel artistes. Last month, Michael Yena got a call Dr Gooya who is a gospel artiste and a videographer in Nairobi under

Sudi Boy ampoteza mkewe

Image
Pwani Usanii Tunaitakia Familia yake Sudi Boy faraja wakati huu mgumu wa majonzi

CHAPATIZO AZUIYA NGOMA YETU, Promoter wa Wasiojali Band adaisha

Image
Promoter wa Wasiojali Band Athman baba akizungumza na mmoja wa wadaku   wetu amesema Chapatizo ambaye alikuwa ameimba nyimbo hiyo pamoja na Susumila, nakuihama green house aliacha wimbo huo bila kuifanyia mastering na hata kutishia kuifuta baada ya Susumila kuifanya tena na wasojali band. Promoter   huyo amedai msanii tajika Susumila aliataka vijana hao kurudia stanza kadhaa, hali ambayo ilichochea kufanywa upya kwa nyimbo hio ambayo kwa sasa imetoka na iko kwenye radio mbali mbali, lakini hilo linamuuma sana Chapatizo ambaye aliagiza ngoma ifutwe akidai aligharamika kwa kuitengeneza ngoma . Ngoma hiyo inayo julikana kama Jirani iliachiliwa wiki iliyo pita na kwa sasa inafanya vizuri baada ya Susumila kupush kuachiliwa kwa pini hilo. Kundi la wasojali linawajumuisha Ability,Hamso , Jaybro na Kamalu. By Nina Kagia.