WATALII MUSIC FAMILY: MALINDI LAZIMA KIELEWEKE!!!!


Huku Chocolate City Malindi wakizidi kujigamba kwa ukwasi wa hiphop, kikosi cha Watalii Music Family kikiongozwa na Makushabu kimejipa jukumu la kuupeleka muziki wa Malindi ulimwengu mzima.



Tetesi zinazojiri ni kuwa kikosi hiki kimeungana na kundi moja la wasanii wa Nairobi wanaojulikana kama Maafleva Music.

 Hivyo basi, kipenga cha sanaa tayari kishapulizwa na Watalii Music ishang'oa nanga.

Comments

Popular posts from this blog

SUDI MANJEWAYNE :THE PWANI KING OF DISS DISSES AGAIN IN HIS NEW SINGLE 'WATAJISHUKU"

WAZEE WETU WA KILIFI SIO WACHAWI-MSANII P-DAY AONGEA