POROJO ZA WIKI......KAZI NI KWAKO.NI SAWA SI SAWA????
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Je ni
sawa kwa Msanii wa Kike kulala na Producer wake...? Au msanii kwa
msanii, au hata Presenter na msanii...??? Kwa sababu hawa wote ni work
mates...??
Mwanadada kutoa Tanzania Ray C, Ametoa picha zake wakati alipokuwa anatumia mihadharati, picha ambazo zimezua hisia kali katika mitandao ya Jamii. Ray C ambaye alichukuliwa na Rais wa TZ Jakaya Kikwete na kupelekwa kwenye rehab kwa sasa yuko katika hali nzuri ya afya na ameanza kazi zake za mziki huku single yake ikitarajiwa kutokea hivi karibuni.
Rapper Sudi Manjewayne the Self-proclaimed Pwani king of diss is back again with a big hit. Manjewa,popularly known for his lyrical creativity which openly creates irony,sarcasm and brings out a melodramatic character in his music gained fame when he did his disstrack tittled 'Hili Game' and later 'Tatizo Ushamba'. There was a time rapper Sudi landed himself in trouble when he dissed two well-known record label owners,the guys wanted to attack rapper Manjewa physicaly. Under the heavyweight producer Morbiz of Thundersound recordz, Sudi Manjewa has delivered a master-piece-of art song which will give the other coastal rappers a shock.Manjewa's flow and lyrical prowess did miracle to the beat and dissing fake producers,promoters and presenters added more flavour to it .The song tittled WATAJISHUKU is already out and coastal music fans should be ready to give an ear to it.JE WAJISHUKU?
Mwanamuziki tokea pwani ya Kenya,P-day ametoa kauli yake kuhusiana na matukio ya mauaji ya wazee wanaoshukiwa kuwa wachawi pande za Kilifi. Msanii huyo aliyetamba kwa kibao tarumbeta,Nylon guitar,Visingizo,Niringe naye na vinginevyo amedokeza haya kupitia ukurasa wake wa facebook akikashifu vikali vitendo hivyo. P-day alisema ya kwamba usemi wake anaopenda kuusema kwa nyimbo zake....."MZEE HATEMEWI MATE" unapaswa kuwa kauli mbiu itakayochukuliwa na kuwekwa kama mtajo utakaowaokao wazee kutoka kwenye janga hili. Tukinukuu kutoka alichonakili kwenye akaunti yake ya facebook..... "Social cohesion department to buy the mzee hatemewi mate lebol ( uzee si uchawi ) nliamka tu nkatunga hii lebol din't know itafika huku ........Sasa vijana kilifi county walianza kuua wazee kwa kua niwachawi BT sio Kila mwenye mvi ni mchawi ..let's respect the old" JE MAONI YAKO NI YAPI KUHUSIANA NA PENDEKEZO LA P-DAY KUHUSIANA NA WAZEE KUUAWA?
Comments
Post a Comment