INTRODUCING NEW ARTIST MICK PLANET.


Mick planet ni msanii wa kizazi anaetokea jijini Malindi city. Amefanya nyimbo yake ya kwanza kwa jina Kilio changu ilioandaliwa ndani ya studio ya True Crazy mjini Malindi. Baada ya kutoa kibao hicho ambacho kipo kwa redio station za Pwani. Ameamua kuachia kibao kipya kwa jina Yalaiti alichokifanya kwa Produza Tee, wa Tee Hits Studio. Kibao hiki atakiachia wiki ijao kwa hio anaomba ushirikiano kwa washikadau wa mziki na mashabiki wampokee vizuri ilikuweza kufanikisha azimio lake.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!