HIVI JE SUDI BOY ALIPIGANA NA MSANII CHIPUKIZI KOFFI?


Katika pitapita zetu mitandaoni,Tulikumbana na habari kuwa Sudiboy alishikana mashati na msanii wa Nairobi kwa jina Koffi.


Japo picha zenyewe zilidhihirisha Ni video,habari hizi zimeinua hisia za mashabiki zake na inakisiwa kuwa tukio hili huenda likiwa la kweli.kisa hiki kinafuatia baada ya Sudi kutojitokeza ili kumalizia video ya wimbo aliokuwa ameshirikishwa. Wimbo wenyewe ulikuwa wa msanii chipukizi Koffi aliyekuwa amemlipa Sudiboy hela kibao kama inavyosema blog huyo.
Juhudi zetu za kumfikia Sudi ziliambulia patupu ila tutawajuza pindi habari zikiwa full kipupwe!!!!Msikae mbali.


Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!