NATAKA MWAKA HUU UWE KAMA 2015-SUSUMILA ASEMA.


Ndio mwaka umen'goa nanga na Susumila ashatoa neno lake tayari. Jamaa huyu aliyetoa zaidi ya hit songs tano mwaka uliopita aliongea na jarida la mwanaspoti na kudai kuwa scandals za 2015 zilimpa motisha sana na kumfanya afanye kazi zaidi. Kwa hiyo Susumila alipendezwa sana na scandals hizo kwani ndizo zilizomfanya kutoa vibao vikali zaidi kimoja baada ya kingine.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!