COLONEL MUSTAFA AKIONA VIDEO HII ATAJUA KUWA WASANII WA MALINDI NI VICHWA VIBOV!!!!




Waaaaahhh basi mwaka huu Malindi imeamua kutolala. Chini ya Malindi Records msanii Kiwanja akimshirikisha K-Mode wametoa video moja chafu sana na kali zaidi ya video zote zilizowahi tolewa Kenya hii. Video hii ikionyesha watu waliotupu tupu wenyewe wanasema imejaribu kuleta dhana ya kisanii. Ikiwa imetayarishwa na Producer Sango video ya HATARI niya kipekee; kwa rangi za black and white wasanii hawa wametoa ujumbe fiche na ukitazama kwa macho ya kisanii basi bila shaka utajua jamaa hawa wa Malindi records walikua na ujumbe fiche wanapitisha.
Itazame hapa------->
 Warning: the video contains scenes not appropriate for persons under the age of 18.
THIS VIDEO CONTAINS PARTIAL FEMALE NUDITY IN AN ARTISTIC CONTEXT
>>>>>>http://youtu.be/Fb2ghpTBDzw 

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!