TIMMY WA KIBAO 'WELL WELL' NA MEG-C WAFUMANIWA!! (PICHA)



Msanii anayetamba kwa kibao well well na msanii mwanadada Meg-C walishikwa vipembeni hivi majuzi wakati wa tamasha la coast music awards.Wawili hao ambao wote ni wasanii wa Nairobi walionekana wakifuatana kama mabata na mwishowe Meg-C alimfuata Timmy nyuma nyuma hadi chumbani mwake.Kilichofuata usitake kujua..........

Comments

Popular posts from this blog

WAZEE WETU WA KILIFI SIO WACHAWI-MSANII P-DAY AONGEA

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.