SISTA SHANIZ AJIBIZANA VIKALI NA BACKSTREET ENTERTAINMENT!


Huku mabo yakiwa dijitali sana na vyombo vya kupitisha habari vikizidi,pwani haijawachwa nyuma.Tulianza na vituo vya habari hadi sasa tunao bloggers wakali wanaotembeza habari sio za sanaa pekee bali za kila aina.Huku blogger Backstreet entertainment akizidi kupamba moto na kuwapa habari za sanaa ya pwani pindi zinapochipuka.Radio presenta Sista Shaniz wa kipindi Kaya Flavaz cha radio Kaya yaonekana hapendezwi na kazi anazofanya blogger huyu na hakuchelewa kumuingilia.Papo hapo majibizano yalizuka kwani Backstreet entertainment hakutaka zuri au baya la presenta huyu wa kike.Hivi ndivyo mambo yalivyojiri.............

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!