MAMUU.... AELEZEA PRINCE OF MELODIES!!!! SOMA HAPA!!





Msanii tajika Pwani, Dully Melody ameamua kudondosha wimbo wake mpya kwa jina MAMUU.
Abdhuli Jimmy Jowa almaarufu The Prince of melodies alisikika kwa Mara ya kwanza kwa kibao chake 'Yagayaga' alichokifanya mwanzo wa mwaka 2016.
Baada ya kutoa msururu wa hits zilizotikisa chati za Pwani, ikiwemo ngoma 'kivumbi' aliyomshirikisha rapper wa kike Cml.
Na raundi hii, chini Ya director anayetokea Nakuru, Thomas Tomsy, Dully ametayarisha video moja itakayo tikisa anga za muziki wa Pwani.
Audio imeandaliwa na produza Noor Mwamba.
Usikae mbali!!!

Vilevile Kupata Skiza tune ya ngoma za Dully Melody fuata maagizo hapo chini

Hongera_71228572

Inakera moyo_71228573

Kivumbi_71228574

Yaga yaga_71228575

Hizo ndizo codes chagua unayotaka utume.
Message word SKIZA alafu space uandike code ulichagua utume kwa nambari hii 811.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!