PATA KUMFAHAMU MSANII PERMIUS.ONE ON ONE INTERVIEW.


PATA KUMFAHAMU MSANII PERMIUS.ONE ON ONE INTERVIEW.
PWANI USANII JE WANAKUITA NANI JINA LA KISANII?
PERMIUS: Jina la usanii naitwa Permius.
PWANI USANII:MUZIKI ULIANZA LINI?
PERMIUS:Muziki nilianza mwaka wa 2015 hapo ndipo nilianza kuenda studio.
PWANI USANII:ENHEE TUELEZE ZAIDI: Nilipatana na kijana mwenzangu mwimbaji kwa jina Burning ice ambaye vilevile ni Produza na akaamua kunikuza kimuziki na kunipeleka kwa studio yake kwa jina Trace records iliyopo Malindi.
PWANI USANII:LABDA KAZI ZA KIMUZIKI ULIZOFANYA TRACE RECORDS NI KAMA ZIPI?
PERMIUS:Kazi nilizofanikiwa kufanya Trace Records ni nyimbo ya kwanza kwa jina- sitaki tena ambayo inapatikana mdundo .Mwaka jana,2016 nikafanya kazi mpya kwa jina -leo na kesho ambayo mashabiki walipenda na kunipa morali.
PWANI USANII:KWA SASA LABDA UNA KAZI MPYA YOYOTE?
PERMIUS:Yeah,kuna kazi mpya nimefanya nikimshirikisha Burning ice na nimepanga kuwashtua mashabiki.Kazi hiyo nitakua naiwachilia karibuni....

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!