COLONEL MUSTAPHA ATOA VIDEO KALI ZAIDI YA PORNOGRAPHY!!!!!



Yaonekana maneno na wosia wa msanii Nyota Ndogo kwa msanii Colonel Mustapha yaliambulia patupu au yaligonga maskio yenye nta. Mustapha baada ya video ya DODOMA SINGIDA iliyokuwa moto wa kuotea mbali, msanii huyu inasemekana yupo tayari kuachilia video ya kusisimua mwili itakayozua balaa kibao. Msanii huyu aliyekuwa kwenye kundi la Deux vultures akiwa na mwenzake Nasty Thomas amekuwa akikumbwa na tetesi kibao.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!