JOE WA CANDY N CANDY BAADA YA KUWAPIGA TEKE WASANII WA PWANI...AJITOSA KWENYE KINYANGANYIRO CHA UONGOZI AMA TUSEME SIASA????


Mmiliki wa kampuni ya Candy n Candy entertainment almaarufu kama Joe, amevunja ukimya wake baada ya kuingia mitini.

Joe aliye na hulka ya kuinua na kupoteza vipaji vinavyoibuka hasa vya papa hapa pwani yasemekana amejitosa kwenye siasa ma uongozi. Bingwa Huyu miaka iliyopita ameonekana sana kuingia kwa tamasha za muziki na uandalizi wa muziki na kwa sasa hayo yanaonekana kugonga mwamba ndiposa kaingia kwenye ulingo huu mwingine. Ukistaajabu ya Musa....ya firauni nayo....tusubiri tukio lingine la bingwa Joe wa Candy n Candy.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!