ATI CHIKUZEE KAFANYA NINI VILE????????


Muimbaji maarufu kutoka Mombasa Chikuzee hatimaye ameachiliwa kwa dhamana ya shilingi
10,000 baada ya kuafikiana na usimamizi wa hoteli ya Qwetu kuhusiana na jinsi ya kulipa deni analodaiwa na hoteli hiyo la shilingi 175,000.
Chikuzee alikwenda kujivinjari katika hoteli hiyo na dada mmoja anayedaiwa kuwa mzungu kwa
zaidi ya mwezi mmoja ambapo alishindwa kulipa malipo.

Comments

Popular posts from this blog

SUDI MANJEWAYNE :THE PWANI KING OF DISS DISSES AGAIN IN HIS NEW SINGLE 'WATAJISHUKU"

WAZEE WETU WA KILIFI SIO WACHAWI-MSANII P-DAY AONGEA