MCHANGANYIKO WA MUZIKI WA HIPHOP NA JAZZ. MSANII WA HIPHOP ATAYARISHA COLLABO KALI NA JUMA TUTU.

Baada ya kuingia Uganda na kufanya kazi na wasanii kadhaa kwa wimbo Amandla, Hustla-J amerudi nyumbani na kuchanganya flavour kali za jazz na hiphop. Kwenye ujio unaotayarishwa kwa sasa na produza gwiji kwa jina MG aliyewatoa wasanii Hart-the band, Hustla-Jay tayari keshajifunga kibwebwe na wimbo wake na Juma Tutu upo jikoni.Subiria matokeo.

Comments

Popular posts from this blog

SUDI MANJEWAYNE :THE PWANI KING OF DISS DISSES AGAIN IN HIS NEW SINGLE 'WATAJISHUKU"

WAZEE WETU WA KILIFI SIO WACHAWI-MSANII P-DAY AONGEA