KIGOTO MMBONDE-NAPENDA VIZURI.JE USHAISIKIZA?KIGOTO ALILENGA KINA NANI?


Chini ya produza Tkmbili,Kigoto Mmbonde amejaribu kuuteka mtindo mpya unaovuma kwa saa hapa Pwani na bongo. Tukianzia kwa kuuchanganua mdundo wenyewe, producer Tk2 amepanga vyombo vya muziki akifuatilia mtindo unaosambaa kwa sasa. Mdundo wenyewe unafuatana au lingana na ule wa YA MOTO band ila Tk2 ameambatanisha vyema vyombo vya muziki na kuupata kama ulivyo. Tukiskiza wimbo wenyewe sasa, Kigoto ameamua kuwaeleza watu fulani kwamba yupo imara na anatosheka kwa kile apatacho. Kama kawaida tunavyofahamu msanii huyu si mchache wa mane no na vijembe, amewapaka jamaa Fulani kwa vidaka vya maneno na tayari tushafahamu ni kina nani. Ukitaka kufahamu zaidi bila shaka wimbo upo mitandaoni na redioni.Napenda vizuri.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!