DAZLAH AMSHIRIKISHA CHIKUZEE 'KALEKALE'


Yaonekana Chikuzee ndiye mfalme wa Collabo miaka hii ya sasa. Baada ya kushirikishwa kwenye nyimbo zinazokita kwenye chati za muziki kama vile Ngoma itambae na Hidaya za Susumila,Makissy akiwa na Busy'K,mapenzi nayajua yake na Chege wa Bongo.Dazla naye ameamua kufuata mkondo na kumshirikisha Chikuzee kwenye ujio wake mpya kwa jina 'kalekale.' Chini ya meneja wake Tee,Dazla amejaribu kuchanganya sauti yake na Chikuzee kuwaletea mashabiki wa pwani wimbo uliokolea fleva za pwani.Tegea wimbo huu wakati wowote kwa sasa.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!