YANAYOKUMBA PRODUZA TEE NI YAPI?



Baada ya tetesi ya kuwa msanii Wynas ameitupilia mbali studio ya Tee Hits na kujiunga na management nyingine.
Yaonekana producer Tee yamemgonga mahali maswala haya.
Wynas hivi majuzi alikuwepo studio ya Mwamba records akipiga collabo na msanii Dully Melody na hivi majuzi kwenye redio fulani,kulitangazwa kuwa Tee hakuwa na uhakika kama Wynas amekatiza mkataba au la.
Katika pitapita zetu mitandaoni tulikumbana na post hii ya producer Tee.....inayozua maswali mengi......

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!